Saturday, January 23, 2016


HERI YA MWAKA MPYA WADAU WETU WA KILIMO:

TUNA PENDA KUWAPONGEZA SANA KWA KUCHAGULIWA NA KUONA MWAKA HUU MPYA.

KWA NEEMA ZAKE MUNGU TUNA YAWEZA MAMBO YOTE KATIKA YEYE ATUWEZESHAYE.

 

Mwaka huu tumejipnga kuweza kuwaletea yale yote mlio kuwa mkiyatazania kwa miaka mingi , hivyo wapenzi wetu napenda kuchukua nafasi hii kuomba radhi sana kwa kutokuwepo hewani muda mrefu, sasa tumerudi na mambo mapya kabisa.

VIPAOMBELE VYETU:

(a) Elimu.

(b)Elimu.

(c)Elimu.

Haya ni mambo matatu naomba niyatoelee maelezo, kwanini ni elimu mara tatu(3) hii maana ni kubwa sana kwani kwenye elimu hutakosea ndio mwanga wa kila siku.

Elimu (a) Maswala yote yanayo husu kilimo na ufugaji wa kisasa, hii ni pamoja na matayarisho ya shamba au eneo pamoja na mbegu bora. Hilo ni eneo moja amabalo ni muhimu sana kulizigatia.

Elimu(b) Ni maswala la masoko nalo ni eneo muhimu linahitaji elimu ya hali ya juu ili kupishana na majanga ya hasara na haswa swala la wakati gani na ni sehemu gani.

Elimu(c). Upatikanaji wa taarifa sahii na wakati sahii na hii ni muhimusana kuwa na elimu hii kwani , hapa nyuma mbambo mengi yamekwenda ndiyo siovyo kwa kusosa muongozo sahii au taarifa sahii na wakati sahii.

 Mambo haya matatu ni maswala ya Elimu kwani elimu ndio kioo cha uchumi kwa taifa letu, Hivyo wadau wetu nomba sana tushirikiane kwa kila hali ili tunapo elekea uchumi wa kati mambo haya hayana budi tushirikiaane sote kwa pamoja.

Hii ndio maana kila moja wetu ni mdau kwa mna moja au nyingine.

Shime jamii ya watanzania na wasio watanzania kwani leo dunia ni kijiji kimoja twabadilishana uzoefu. Napenda kutoa shukurani zangu kwenu wadau niwatakie kila la kheri,

Lema Dennis.