Friday, January 9, 2015

Hii ni sehemu tu ya kilimo cha mboga mboga, na muda sio mrefu tutaingia kwenye ufugaji wa kuku kuanzia kwenye yai hadi kuku kamili.
1,  Matayarisho ya Banda
2,  Usafi wa mazingira, kuondoa wadudu waharibifu
3,  Maji na vyakula.
Hili ni zoezi endelevu la kufundisha wahitaji mambo muhimu kuhusu kuku.

No comments:

Post a Comment