Monday, January 26, 2015

Hili ni moja ya banda bora lililojengwa kwa ubora zaidi banda hili lina vyumba vitatu chumba cha kwanza wana kaa kuku wa kawaida ambao hawatagi chumba cha mwisho wanakaa kuku wanao lalia mayai na wametenganisha sehemu ya kukuzia vifaranga

No comments:

Post a Comment