Monday, January 26, 2015

Hao ni baazi ya kuku chotara kuku hao chotara ni wazuri sana kwa nyama na wanasoko zuri sana ni kuku ambao wanampa mfugaji faida nzuri sana.Chotara hao wana miezi Tisa mfugaji wetu anaweza kuwauza kwa sh 15000/=kwa jogoo moja au sh 20000/= kwa mtetea mfugaji anaweza akauza kwa sh 20000/= hiyo ndio faida ya mfugaji wa kuku wa aina ya chitara hii ni moja ya utajili wa mfugaji

No comments:

Post a Comment