Saturday, February 14, 2015

JIPATIE MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2014 NA QT HAPA

                                 Na Chalila kibuda Globu ya Jamii
Shule za sekondari binafsi zaongoza 10 bora matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana

Akizungumza na waandisha wa habari leo ofisini kwake jijini Dar es salaam. Katibu mtendaji wa baraza la mitihani nchini (NECTA) Dk Charles Msonde amesema katika matokeo ya kidato cha nne ya mitihani wa mwaka jana umeongwzeka kwa asilimia 12.67 ikilinganishwa na mwaka jana 2013

Katika matokeo hayo msichana wa shule ya sekondari ya Baobab, Nyakaho
   1. Mrungu ndio aliyeongoza mtihani huo na kufatia na wavulana

Shule za sekondari za St Fransis ya mkoani Mbeya wanafunzi sita na Feza wanafunzi Nane na kufanya shule hizo kuingia katika kumi (10) bora kwa kutoa idadi wanafunzi wengi ikilinganishwa na shule zingine

Msonde amesema matokeo hayo yatatoka na mfumo mpya wa GPA kwa kuangalia masomosaba hivyo hivyo ufaulu umetokan na mfumo huo


http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/olevel2014.htm












No comments:

Post a Comment