Tuesday, February 10, 2015

VIONGOZI WA KANISA LA ANGLIcANA WATEMBELEA SHAMBA LA WAZIRI MKUU ZUZU DODOMA KUJIFUNZA KILIMO CHA ZABIBU NA EMBE




Waziri mkuu,mizengo pinda akiwaonesha viongozi wa kanisa la Anglikana kutembelea shamba lake la zabibu lililopo Zuzu Dodoma February 9,2015 maana ya viongozi hao kutembelea shamba hilp ni kujifunza na kuwa na lengo la kuanzisha shamba linalofanana na hilo dodoma Askofu Dickson chilongani wa Dayosisi ya Dodoma (kushoto) Askofu Maimbo Madolwa wa Dayosisi ya Tanga (wapili kushoto)na wa kulia ni Bi. Canon,Johnson Chinyongole ambaye ni katibu Mkuu wa kanisa hilo

Waziri Mkuu M izengo Pinda akiwaonesha viongozi wa kanisa la Anglican kutembelea shamba lake la zabibu lililopo Zuzu Dodoma

                                               (PICHA NA IKULU)

Posted by elius

No comments:

Post a Comment