Friday, February 13, 2015

Mkutano wa Kujadili Mkakati wa Maendeleo wa Sekta ya Mifugo nchini Kenya

Dkt . Titus Mlengeya Kamani (Mb)  Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Akishiriki  Kwenye Mkutano wa Mawaziri Wenye Dhamana ya Sekta ya Mifugo.KujadiliMkakati wa Maendeleo wa Sekta ya Mifugo Afrika kwa Kipindi cha 2015-2035 (The Livestock Development Strategy for Africa -LiDeSa 2015-2035).  Katika ukumbi wa Mikutano wa AU-IBR Nairobi, Kenya

Imetolewa na wizara ya ufugaji

No comments:

Post a Comment