Thursday, March 26, 2015

KILIMO CHA CHA UMWAGILIAJI CHA FANIKIKIWA MKOANI ARUSHA

Skimu ya Maji ya Kabambe iliyojengwa katika Wilaya ya Monduli kata ya Majengo kuwasaidia wakulima kupata maji kwa ajili ya kilimo cha Mahindi, Ndizi na Mbogamboga, ikiwa ni sehemu ya miradi inayoratibiwa na ASDP na kusimamiwa na wadau wa maendeleo IFAD .
Mojawapo ya Shamba la Nyanya linalotumia Skimu ya Maji ya Kabambe inayoratibiwa na Miradi ya ASDP katika Wilaya ya Monduli.  
Shamba la Mbogamboga la Wakulima wa Monduli wanaotumia Skimu ya Maji ya Kabambe ikiwa ni sehemu ya mafanikio ya miradi ya ASDP inayosimamiwa na wadau wa maendeleo IFAD

No comments:

Post a Comment