Wednesday, March 25, 2015

Wakulima washauriwa kuboresha zao la ALIZETI

Maduka makubwa mchanganyiko- SUPERMARKETS yamewashauri wakulima kuboresha kilimo cha zao la Alizeti kwa vile mafuta yanayotokana na zao hilo yana soko kubwa kuliko mafuta ya kutoka nje. 

Wakizungumzia ubora wa mafuta hayo, msemaji wa duka la Mirado Fortunatus Bernard na msemaji wa duka la TSN Nassoro Abdallah wamesema mafuta ya alizeti yanapendwa kwa sababu yanawasaidia watu wenye matatizo ya moyo.

No comments:

Post a Comment