Monday, February 24, 2014

MWAKA WA KILIMO WA AFRIKA WAZINDULIWA MKOANI IRINGA

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh.Dkt Christine Ishengoma akipiga makofi mara baada ya kukata utepe
kuashiria uzinduzi wa ghala la mazao,katika kijiji cha kaning'ombe, wilayani iringa mkoni humo wakati wa uzinduzi wa mwaka wa kilimo



Sehemu ya wadau mbalimbali walio shiriki katika uzinduzi wa mwaka wa kilimo mkoani humo



Mwakilishi wa shirika la afrika one kutoka afrika kusini, Mercy Erhiawarien akitoa ufafanuzi mbele ya wadau wa kilimo kuhusiana ana namna kilimo kinavyoweza kuwasaidia watanzania, hasa kwa vijana na akina mama




 Pichani juu na chini ni mabalozi wa kilimo nchini, msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Prof Jay pamoja na mchora katuni maarufu nchini, Massoud kipanya wakizungumza mbele ya wadau wa kilimo namna kilimo kinavyoweza kuwakomboa vijana 


Baadhi ya wadau viongozi wakifanya ukaguzi wa shamba la mfano katika kijiji cha kaning'ombe mkoani Iringa.




Wasanii ambao ni mabalozi wa kilimo nchini, Mrisho mpoto na Profesa Jay amabao ni mabalozi wa kampeni ya ''KILIMO KINALIPA,JIKITE'' walikuwepo

 
Sehemu ya shamba la mfano la mkulima mdogo, Mzee Mbagile


No comments:

Post a Comment