Tuesday, September 23, 2014

Michuzi blog ni chombo muhimu cha habari za huwakika,
Hii ni sehemu ya jangwa ambalo linafanya maajabu sana katika swala zima la kilimo. Nakufanya kuwa tegeneo kubwa sana kwa nchi zenye maeneo makubwa yanayofa kwa kilimo. Hii ni changa moto sana kwa wasomi wetu hasa wa kilimo kwani ni muhimu sana kujifunza kwa walio shinda.











Ndugu wadau habarini za leo! Mungu ni mwema kutupa tena leo, natafuta soko la mayai ya kuku wa kisasa. Tafadhali kama mwenye soko hilo tuwasiliane naye kwa no hii 0655615365. Ahsant

Saturday, September 20, 2014

Hii ndio mitambo ya maji na hali ya hewa ndani ya shamba.







  • Mitambo ya kuratibu hali ya hewa pamoja na maji kwenye shamba la kisasa.
Haya ni matokeo bora ya kilimo cha kisasa, kwani yana hitaji hutaalamu wa hali ya juu.Hivyo ndugu zangu Watanzania shime tuweke juhudi sana katika kilimo na ufugaji.
Tunaona mwaka huu ulivyo kuwa wa neema sana 2014 angalia kibaigwa mahindi yalivyo furika.




Ndugu zangu msiache kutanzama blog kubwa hapa nchini Tanzania [Michuzi blog ] ambao inatarifa nyingi kila baada ya saa.