Saturday, May 25, 2013

Mkulima mbaroni kwa kukutwa na kobe 70

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime akionyesha kobe hai wapatao 70 waliokamatwa. Kulia kwake ni Afisa Mnadhimu wa Jeshi hilo mkoani humo, Suzan Kaganda akiwa ameshika Ngozi ya DigiDigi.
 Mkulima Moses Nyawage (42), Mkazi wa Kijiji cha Ng’hongona Manispaa ya Dodoma anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na kobe 70 wenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 7.8.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa na kobe hao Mei 22 mwaka huu saa 10.30 jioni katika  maeneo ya Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom).

Alisema alipohojiwa mtuhumiwa huyo, aliwaeleza kuwa aliwapata  kobe hao katika maeneo ya Mwitikila na kuwahifadhi kwenye viroba.

Naye Elias Mathias  (45), Mkazi wa Pwaga Wilaya ya Mpwapwa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na ngozi mbili za mnyama aina ya digidigi.

Mtuhumiwa huyo alikamatwa Mei 22, mwaka huu saa 10.30 usiku katika Kijiji cha Pwaga akiwa na ngozi hizo zenye thamani ya Sh.800,00 kwa mujibu wa sheria.

Watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika.Mkulima Moses Nyawage (42), Mkazi wa Kijiji cha Ng’hongona Manispaa ya Dodoma anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na kobe 70 wenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 7.8.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa na kobe hao Mei 22 mwaka huu saa 10.30 jioni katika  maeneo ya Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom).

Alisema alipohojiwa mtuhumiwa huyo, aliwaeleza kuwa aliwapata  kobe hao katika maeneo ya Mwitikila na kuwahifadhi kwenye viroba.

Naye Elias Mathias  (45), Mkazi wa Pwaga Wilaya ya Mpwapwa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na ngozi mbili za mnyama aina ya digidigi.

Mtuhumiwa huyo alikamatwa Mei 22, mwaka huu saa 10.30 usiku katika Kijiji cha Pwaga akiwa na ngozi hizo zenye thamani ya Sh.800,00 kwa mujibu wa sheria.

Watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika.

Mkulima Moses Nyawage (42), Mkazi wa Kijiji cha Ng’hongona Manispaa ya Dodoma anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na kobe 70 wenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 7.8.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa na kobe hao Mei 22 mwaka huu saa 10.30 jioni katika  maeneo ya Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom).


Alisema alipohojiwa mtuhumiwa huyo, aliwaeleza kuwa aliwapata  kobe hao katika maeneo ya Mwitikila na kuwahifadhi kwenye viroba.


Naye Elias Mathias  (45), Mkazi wa Pwaga Wilaya ya Mpwapwa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na ngozi mbili za mnyama aina ya digidigi.


Mtuhumiwa huyo alikamatwa Mei 22, mwaka huu saa 10.30 usiku katika Kijiji cha Pwaga akiwa na ngozi hizo zenye thamani ya Sh.800,00 kwa mujibu wa sheria.


Watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika.

Friday, May 24, 2013

Waziri akiri kuhusu mbolea feki nchini

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima 

Dodoma
 Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, imekiri kuwa inakabiliwa na changamoto ya kuwapo kwa mbolea isiyokuwa na viwango vinavyokubalika na inayoathiri uzalishaji wa mazao.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Peramiho, Jenister Mhagama (CCM).
Mbunge huyo alitaka kujua kauli ya Serikali kuhusu tatizo la ubora wa mbolea, linalowakabili wakulima katika kila msimu wa kilimo.
Naibu Waziri alisema Serikali kwa kutambua hilo, imeweka udihibiti wa mbolea isiyokuwa na viwango kwa kupitia sheria ya mbolea ya mwaka 2009, kifungu cha 7 (1).
“Pamoja na hayo, lakini pia Serikali imeunda Mamlaka ya Usimamizi wa Mbolea ambayo kazi yake ni kuthibitisha ubora wa mbolea viwandani,” alisema Malima.
Alisema katika kukabiliana na tatizo hilo katika ngazi ya halmashauri na wakulima, Serikali imeanza kutoa mafunzo kwa wakaguzi wa mbolea na kwamba hadi Mei mwaka jana kulikuwa na wakaguzi 44 kutoka katika halmashauri mbalimbali.
Kwa upande mwingine kiongozi huyo alisema tayari wizara imeweka utaratibu mzuri wa kuhakikisha kuwa mbolea inawafikia wananchi kila ifikapo Agosti mosi.


Thursday, May 23, 2013

Bajeti ya kilimo mwaka huu yawaacha wadau njiapanda

Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika inapita kwa mbinde katika kikao cha Bunge la bajeti 2013 mjini Dodoma hivi karibuni.
Taarifa zinabainisha kwamba haikuwa rahisi kupita kwa bajeti hiyo kutokana na sababu nyingi, lakini kubwa ni mfumo wa stakabadhi ghalani na utaratibu wa ruzuku ya pembejeo, ushirika na sintofahamu iliyopo kwa wakulima wa pamba, miwa na tumbaku.
Mazao hayo ingawa ni roho ya uchumi wa mataifa mengi ulimwenguni, nchini wakulima wake wapo njia panda na mbaya zaidi hata fedha zizozotengwa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kilimo hazieleweki zinaenda wapi na zinafanya nini?
Hata hivyo bajeti ya serikali 2012/2013 haijaonyesha kutoa nafuu yoyote kwa wenye viwanda vidogo na wakulima na hali hiyo kuwaweka njiapanda watendaji katika sekta hizo kwani kilichotokea katika bajeti iliyopita haikuakisi nuru kwa bajeti ijayo.
Kulingana na Waziri wa Fedha na Uchumi, William Mgimwa, Sh17.7 trilioni, zimetengwa kwa ajili ya bajeti ya mwaka 2012/2013 na bajeti  ya sasa inatenga fedha za matumizi makubwa katika mafungu matano.
Mafungu hayo ni pamoja na kulipa deni la Taifa ambalo limetengewa Sh2.7 trilioni wakati Wizara ya Ujenzi Sh1 trilioni, ulinzi Sh920 bilioni, elimu Sh721  Bilioni na nishati na madini Sh641 bilioni. Jumla ya fedha zote ambazo zitatumika kama mafungu ya juu ni Sh5.982 Trilioni.
Serikali katika bajeti ijayo katika kile ilichoelezwa kuwa ni kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mikopo ya muda mrefu, kilimo kisichokuwa na tija na ukosefu wa ajira,  imetenga fedha katika maeneo tofauti kwa ajili ya la kuhuisha sekta ya kilimo.
Kulingana na bajeti ya sasa, Sh30 bilioni zimetengwa kwa ajili ya Benki ya Rasilimali (TIB) Sh40 bilioni kwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo, fedha ambazo zinaifanya benki hiyo mpya kuwa na mtaji wa Sh100 bilioni.
Waziri Mgimwa anasema bajeti imelenga kuboresha mazingira ya biashara na kutenga maeneo maalum ya uwekezaji mijini na vijijini.
Anasema lengo lingine ni kukuza ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi na hatua hiyo inaenda sanjari na kuboresha viwanda vidogo vidogo nchini na kwamba  Sh128.4 bilioni, zimetengwa katika eneo hilo.
Bajeti ya serikali katika sekta ya kilimo inatajwa Sh328.1 bilioni kwa ajili ya maendeleo ya kilimo, na Sh130.5 bilioni kwa ajili ya ruzuku ya pembejeo  na Sh5.7 kwa ajili ya ushirika ambao unalalamikiwa kuwa ni kama umekufa.

Tuesday, May 21, 2013

Mbaroni akidaiwa kuuza mbolea feki

WIKI mbili baada ya blog hii kufichua uwepo wa dawa feki, mbegu na uchakachuaji wa mbolea kukithiri mkoani Mbeya, Jeshi la Polisi limefanikiwa kumnasa mmoja wa wanaodhaniwa kuwa ni wahusika wa mchezo huo mchafu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Diwani Athumani, alisema kuwa walimkamata Jofrey Mbago, mkazi wa Chimala wilayani Mbarali akiwa na mifuko 100 ya mbolea aina ya CAN ikiwa ndani ya mifuko yenye nembo ya Premium Agro Chem Ltd.
“Tulipata taarifa kutoka kwa Adjurist Edward Ngezi ambaye ni Ofisa Mauzo wa kampuni ya kusambaza mbolea iitwayo Premium Agro Chem Ltd yenye makao makuu jijini Dar es Salaam, akimlalamikia wakala wao Jofrey Mbago kuwa anasambaza mbolea isiyo halali kwa kutumia mifuko ya kampuni yao,’’ alisema.
Alisema uchunguzi wa awali uliofanywa na bwana shamba wa mji mdogo wa Chimala, Ezbon Michael, umebaini kuwa ndani ya mifuko hiyo kulikuwa na mbolea inayosadikiwa kuwa ni aina ya Minjingu.
“Mtuhumiwa alipohojiwa alikiri kuwa mbolea hiyo alipelekewa na Samwel Mhavile na Abson Sanga wakazi wa Makambako na kwamba mbolea hiyo inauzwa sh 50,000 kwa kila mfuko wa kilo 50 na hadi anakamatwa alikuwa ameshauza mifuko mingi,’’ alisema Kamanda Diwani.
Alisema kutokana na tukio hilo, taratibu zinafanywa sampuli ya mbolea hiyo ipelekwe kwa mkemia mkuu wa serikali jijini Dar es Salaam ili kuthibitisha mifuko hiyo ina mbolea aina gani.

Monday, May 20, 2013

How to Grow Mushrooms Indoors


 Grow Mushrooms Indoors

Growing mushrooms at home is a task that any gardener interested in growing their own food should attempt. Mushrooms are a healthy addition to any diet, as they are low in calories and fat, high in fiber, and contain high amounts of potassium. In addition, they are very easy to grow at home. Mushrooms are best grown indoors where the temperature and light conditions can be more readily managed. Learning how to grow mushrooms indoors is a matter of managing their growing conditions carefully. 

Steps
 Decide what type of mushroom you want to grow. The 3 types of mushrooms that are easiest to grow at home are oyster, white button, and Shitake. The method for growing each mushroom is similar, but the ideal growing medium differs.
  • Oyster mushrooms grow best in straw; Shitakes grow best on hardwood sawdust; button mushrooms grow best in composted manure. These different growing media reflect the different nutritional needs of each species. However, each of these 3 species can be grown readily enough in sawdust or straw.
  • Choosing a type of mushroom to grow is a matter of taste. You should grow the type you most want to eat.
    1. Purchase mushroom spawn. Mushroom spawn is sawdust permeated with mushroom mycelia - essentially the root structure of the fungus. It is used much like plant seedlings to facilitate growth. You can purchase mushroom spawn from several online retailers, some gardening supply stores, or some specialty organic living stores.
      • Make sure to buy spawn rather than spores. Some retailers will also sell spores, which are more akin to the seeds of plants (rather than seedlings). Growing mushrooms from spores takes more time and practice, and is best suited for a seasoned mushroom grower.
    2. 3
      Heat the growing medium to spread the mycelia into it. The mycelia in your mushroom spawn need to spread into the growing medium thoroughly before producing mushrooms. A warm temperature encourages this growth.
      • After choosing the growing medium suited for your mushroom species, place a few handfuls of it into a baking pan. A shallow pan with a large surface area will provide the most room for your mushrooms to grow.
      • Mix the spawn into the growing medium with your fingers. Place the baking pan on a heating pad set to 70 degrees Fahrenheit (21 degrees Celsius). This is the ideal temperature to encourage growth.
      • Leave the setup in a dark environment, such as a cabinet, for about 3 weeks. This will allow the mushroom mycelia to permeate the growing medium.
    3. 4
      Place the growing medium into the proper environment. After 3 weeks, you need to place the pan into an environment that is dark and cool (about 55 degrees Fahrenheit / 13 degrees Celsius). A basement usually works well for this, but a cabinet or drawer in an unheated room will work in winter.
      • Cover the growing medium with a handful of potting soil and spray the entire mixture with enough water to dampen it thoroughly. You can place a damp towel over the pan to prevent moisture loss if desired.
      • The mix should be kept moist and cool as the mushrooms grow. Check it periodically and spray it with water as necessary.
    4. 5
      Harvest your mushrooms when they are fully grown. In about 3 weeks, you should see small mushrooms appearing. Continue to keep their environment moist, cool, and dark to encourage their growth. When their caps separate fully from their stems, they are ready to harvest. You can simply pluck them with your fingers; it is best to rinse them before cooking or eating.

    Things You'll Need

    • Mushroom spawn
    • Sawdust, straw, or manure
    • Baking pan
    • Heating pad
    • Potting soil
    • Spray bottle
    • Water
    • Towel