Saturday, September 20, 2014

Hii ndio mitambo ya maji na hali ya hewa ndani ya shamba.







  • Mitambo ya kuratibu hali ya hewa pamoja na maji kwenye shamba la kisasa.
Haya ni matokeo bora ya kilimo cha kisasa, kwani yana hitaji hutaalamu wa hali ya juu.Hivyo ndugu zangu Watanzania shime tuweke juhudi sana katika kilimo na ufugaji.
Tunaona mwaka huu ulivyo kuwa wa neema sana 2014 angalia kibaigwa mahindi yalivyo furika.




Ndugu zangu msiache kutanzama blog kubwa hapa nchini Tanzania [Michuzi blog ] ambao inatarifa nyingi kila baada ya saa.

Wednesday, September 17, 2014

UTAYARISHAJI WA SHAMBA LA KISASA




















 















MAONI YA MKULIMA NA MFUGAJI



Ndugu wananchi wenzangu napenda kuchukua fursa hii , Adimu  kuweka maoni yangu juu ya kilimo na ufugaji ndani ya taifa letu la Tanzania.Yapo mambo mengi yanasemwa , yanafanywa pia siasa nazo hazikubaki nyuma sana katika jambo hili.

 Mimi kama mdau wa kiliomo na ufugaji nimeona mambo mengi yakienda kimyume na utaratibu wa miaka mingi iliyopita, Kwamba utaratibu umebadilika mno na pia sera za nchi zikibadilika hasa unapo ingia uongozi mpya ktk taifa letu. Hii ina maana kwamba hakuna sera ya kudumu ya kuliongoza taifa kwenye maswala muhimu hata katika mfumo mzima wa ardhi na ufugaji. 
Hii ina maana kwamba watunga sera wamesahau mambo muhimu kama yafuatayo.

 {1} Ardhi tulio nayo aiongezeki.

 {2}Watu wanaongezeka

 {3} Mifugo nayo inaongezeka tena kwa kasi sana  Hili naona halina ubishi kabisa kwani naona haya  ni mambo ambayo lazima watunga sera wetu wakayaweka sawa kwani inavyo elekea siku za usoni nchi hii haita kalika kutokana na watu wawili tu, ambao ni ndugu kwa asili. 




 Ni lazima hatua zichukuliwe toka sasa kwa kujenga baadaye na wala sio mda ujao, hii inamaana kwamba hatua za makusudi lazima zifuatwe kwa msakabali wa taifa letu sote Kwani kinacho fanyika sasa ni uhuni, rushwa kutawala maeneo mengi na ubaguzi wa fedha kati ya walio nacho, yaani wakulima wakubwa na wafugaji wakubwa. Hii ni vita kubwa sana siku za usoni kwani lazima hatua zichukuliwe sasa .

Mimi ni mdau wa pande zote mbili hivyo ninaelewa nini ninachosema kutokana na uzoefu wangu na kuliona jambo hili kwa jicho la pili., Hivyo wadau na wapenzi wa kilimo na ufugaji ni lazima wakae meza moja na kujenga nchi yao kwani wanategemeana sana katika usawa wa taifa lao.

Napenda sana kuweka maoni yangu haya ili kwamba wadau wenzangu  kwa pamoja tushirikiane kuweka mambo yetu sawa ndani ya taifa letu, kwani bado hatuja chelewa ingawa mauji yametokea kwa pande zote twaomba Mungu atusaidie sana tuvuke salama katika jambo hili.

Napenda kutoa RAHI hasa kwa viongozi wetu wasifanye mchezo katika jambo hili kwani huu ni moshi tu ambao upo kwenye shimo ipo siku utatokeza nje hakuna wa kuuzima kwani ilakuwa ni janga kubwa sana katika taifa letu.Maoni yangu ni kwamba toka ngazi ya shina hadi taifa watu washirikishwe katika mambo ya nchi yao na kila jambo likae sawa kwani hatima ya nchi hii ni ya watanzania wenyewe hakuna mgeni atakaye weza kutusaidia katika swala hili.

Naomba kuwakilisha kwenu wadau wa taifa hili, Mungu ibariki Tanzania na watu wake.

Lema.

Monday, September 15, 2014

2002 JOHN DEERE 6620 POWER QUAD in Maidstone



  • Tractors
  • 2002
  • Clean Overall Condition
  • Clean Interior Condition
  • Medium Tractor
  • 6504 Hrs Used
  • Clean Body Condition


JOHN DEERE 6620 POWER QUAD YEAR 2002 02 REG 3 SPOOLS PUSH OUT HITCH PASSENGER SEAT AIR SEAT A/C SUN HATCH 3 SPEED PTO TYRES 460/85 R38 REARS 60% 420/85 R24 FRONTS 40% £19,500 +VAT


CONTACT




Farming Online Ltd
PO Box 22
Much Wenlock
TF13 9AD
t: 0870 909 0902
id: 61287




1983 INTERNATIONAL 785XL 2WD TRACTOR in Maidstone




  • Tractors
  • 1983
  • White
  • Good Body Condition
  • Medium Tractor
  • 7750 Hrs Used
  • Good Overall Condition
  • Good Interior Condition