Saturday, September 20, 2014

Haya ni matokeo bora ya kilimo cha kisasa, kwani yana hitaji hutaalamu wa hali ya juu.Hivyo ndugu zangu Watanzania shime tuweke juhudi sana katika kilimo na ufugaji.
Tunaona mwaka huu ulivyo kuwa wa neema sana 2014 angalia kibaigwa mahindi yalivyo furika.

No comments:

Post a Comment