Tuesday, January 28, 2014


 RAIS KIKWETE AFURAHISHWA NA HUDUMA ZA NMB KATIKA MPANGO
WA KILIMO STAKABADHI GHALANI



Rais kikwete akisalimiana na mkuu wa kitengo cha masuala ya kilimo katika benki ya NMB Bw. Robert Pascal alipo tembelea banda lao baada ya kufungua kongamano la kilimo Africa mashariki katika Hoteli ya kilimanjaro.




Rais Kikwete akipata maelekezo juu ya mpango wa stakabadhi ghalani ulivyo na manufaa kwa mkulima toka kwa mkuu wa kitengo cha masuala ya kilimo bw. Robert Pascal





No comments:

Post a Comment