Tuesday, May 28, 2013

Maandilizi ya kilimo cha Mpunga Sengerema


Watoto  wa kijiji cha Luchili wilayani Sengerema wakiandaa shamba kwa ajili ya kupanda Mpunga. Zao la Mpunga  hivi sasa linalimwa na wananchi wengi wa mikoa ya Mwanza na Shinyanga kwa ajili ya chakula na Biashara. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment