Tuesday, February 18, 2014

MABADILIKO YA HALI YA KIBIASHARA TANZANIA



MABADILIKO YA HALI YA KIBIASHARA TANZANIA







Kama ukiangalia vizuri nchi yetu ya Tanzania inatengeneza mabadiliko fulani ya kibiashara na kiuchumi na mabadiliko haya yatakuwa na athari na faida zake.

1. Kwa sasa serikali imeamua kutengeneza vitambulisho vya utaifa hii ni ili kupata taarifa muhimu za kila mtanzania kuanzia
alikozaliwa hadi aliposasahivi.
2. Wanapitisha dodoso kwa kila nyumba na eneo ili kutambua ni nyumba ngapi zinatumika kama nyumba na sehemu ya
biashara na ngapi zinatumika kama nyumba peke yake au sehemu ya biashara peke yake ( hapa ni lazima uandike na jina
la biashara na biashara unayoifanya katika ofisi yako.
3.Tra kusisitiza matumizi ya EFD
4. TBS kusisistiza matumizi ya nembo zao katika bidhaa.

ukiangalia hivyo ni baadhi tu ya mabadiliko tuliyonayo kwa hivi sasa kitu kikubwa kinachoatafutwa hapo ni kodi na ubora wa biashara,asilimia kubwa ya wanaofanya biashara na wajasiriamali wamekuwa inspired na wajasiriamali wakubwa kutoka nje ya nchi na wengi wametumia baadhi ya njia walizotumia na kuweza kuyaona mafanikio lakini sasa serikali imebadilika inahitaji kila kitu kiwe perfect kama ambavyo ilivyo katika nchi tunazokopi kwao.

kuna watu wengi hufanya vitu bila hata kujua vina umuhimu gani kuna wanaotengeneza Logo kwa kuwa wanajua ili biashara iitwe biashara ni lazima uwe na logo, kuna wanaoprint fliers,posters, nakadhalika bila kujua zina faida gani na zinatoa majibu baada ya muda gani na unaziweka kwa mpango wa muda gani watu hufanya tu kwa mazoea ndio maana hata ukiangalia mabango ya kampuni zetu ni tofauti na mabango ya kampuni za nje.tunafanya vitu kiholela lakini serikali imeamua kututoa huko bila kutuambia kama tunahama kwenye mazoea tunaenda kwenye uhalisia.

kiukweli uhalisia ni mgumu kwa sababu bado watu hawajui faida na hasara au sababu na maana ya kufanya hivyo, lakini Tanzania inageuka kuwa nchi ya uwekezaji siku sio nyingi makampuni mengi yanakuja na kufungua matawi nchini kwetu hivyo tunahamishwa kwa sababu maalum, na kwa kuliona hilo Legacy Impresion Company inatoa ofa kwa wale wote wamiliki wa biashara na ambao wanatarajia kufungua biashara kuja kupata semina ya utambuzi wa matumizi na umuhimua wa vifaa vya kuitambulisha biashara yako kwenye jamii. ( Logo, Fliers,Brochure,Business card, nk) semina hii inatolewa bure kwa kila mfanyabiashara atakaefanya (Branding package) kutoka Legacy amabapo package hii inajumuisha dizaini tofauti tofauti za vifaa vinavyokutambulisha kwenye jamii na mteja unaemtarajia.

Muda wa kufanya kazi kwa mazoea unahesabika badilika sasa, badilika na Legacy,tunapatika Kijitonyama,Dar es salaam,na tunashughulika na kufanya Graphic design, Printing,Webtech,stationery na Brand Consult, mawasiliano ni 0713603699 au info@legacytz.com,website ni .:LEGACY TANZANIA:.



No comments:

Post a Comment