Wednesday, April 8, 2015

Vijana waaswa kutumia Fursa wazipatazo

WAZIRI wa habari vijana utamaduni na michezo FENELLA MKANGARA
WAZIRI wa habari vijana utamaduni na michezo FENELLA MKANGARA,amewashauri vijana kote nchini kuwa wabunifu na kutumia fursa zinazojitokeza mbele yao ili kujiletea maaendeleo

Hayo ameyasema katika mkusanyiko wa magari hamsini na pikipi 10 za vijana wa BONGO RIDE wakiwa tayari kufanya msafara unaotwa BONGO CHARITY CRUIZE kutoka DAR hadi MORO.

mkurugenzi wa makapuni ya TSN GROUP, FAROUQ BAGHOZA anaeleza kwa nini amedhamini msafara huo kuwa ni kuwaleta vijana pamoja na kuibuwa vipaji vya vijana hapa nchini.

Msafara huo wa MAGARI na PIKIPIKI kutoka DAR HADI MOROGORO, utatembelea kikundi cha watu wanaoshi na virusi vya ukimwi mkoani morogoro,WAVUMO ili kujua shida zao na kuzitafutia ufumbuzi.

No comments:

Post a Comment