Saturday, March 14, 2015

 Mmoja wa Wakulima wa Ufuta katika Kijiji cha Misima wilayani Handeni Bw. Rashidi Dempombe, akimweleza afisa Kilimo wa wilaya hiyo Bw. Yibarik Chiza, kwa namna alivyolima na kupanda zao hilo ambalo ni la biashara.

No comments:

Post a Comment