Wednesday, March 11, 2015

SASA NI ZAMU YA WAKULIMA NA NMB

Benki ya NMB ndio benki pekee yenye matawi katika kila wilaya hapa nchini.Hivyo basi ndio benki pekee inayowajali wateja wake kwa kua karibu zaidi wakati wote.NMB imekua ikiandaa semina elekezi kwa wateja wake .Sasa ilikua zamu ya wakulima na wadau wote wa kilimo cha kahawa wameweza kupata fursa ya kujua huduma mbali mbali zitolewazo na NMB 
kwa ajili ya wakulima na wadau wote wa hudiuma za kibenki.Hivi karibuni NMB iliandaa semina kwa ajili ya wadau wa biashara za Kilimo ambayo 
imeendeshwa katika mikoa mbali mbali ikiwmo Tabora na Mbeya

No comments:

Post a Comment