Thursday, February 26, 2015

KILIMO KWANZA: KILIMO CHA KUTUMIA JEMBE LA KUKOKOTWA NA NG'OMBE

  • Ulimaji huu wa kutumia jembe linalokokotwa na ng'ombe ni kilimo cha tangu enzi za mababu, na kiasi kikubwa ndicho kimekuwa kikitumiwa na wakulima wadogo ukiachilia mbali wale wanaotumia jembe la mkono. Hii ni faida mojawapo anayoipata mfugaji wa ng'ombe katika kujiongezea kipato kinachosaidia maisha yake. Pengine upandaji wa mazo kwa kufuata mistari inayotengezwa na jembe la kukokotwa na ng'ombe ndio unaopaswa kuboreshwa kwa kupanda kwa njia ya mistari inayonyooshwa na kamba.

1 comment: